Breaking

Wednesday, September 28, 2022

MALKIA WA MIHOGO


***Malkia wa MIHOGO(Queen of Cassava)***

***Mrs Yemisi Iranlove*Mwanadada wa Nigeria anatengeneza zaidi ya dolla za U.S milllion 12 kila mwaka kwa mauzo ya mihogo zaidi ya Tani 10,000 ambapo mauzo yake makubwa uyafanya nje ya nigeria***
***Mwanadada huyu ambaye amefanikiwa kupangua vikwazo lukuku ambazo vimemfanya afanikiwe kuwa mzalishaji na msambazi mkubwa wa mihogo ukanda wa Africa Magharibi***

****QUEEN OF CASSAVA****

Na Hillary A Silayo .....

No comments:

Post a Comment

Pages