Raisi wa Russia Vladimir Putin asema kua Afrika ni kaburi tu kwa waafrika
"MUAFRIKA AKIPATA HELA
1-anakwenda kujenga Ufaransa
2-anawekeza Ujerumani
3-akiumwa anakwenda kutibiwa India
4-watoto wake wanasoma Marekani
5-bank account yake ipo Denmark
5-matumizi yake yote anafanyia China
6-utalii wake anafanyia ulaya
7-anakwenda Romma au Mecca kusali
Ila akifa anenda kuzikwa sehemu nzuri Afrika Afrika Ni kaburi TU Sasa kaburi litaendeleaje?"
Uongo uko wapi?
No comments:
Post a Comment